Shaiboub aanza kukiwasha Simba SC Shaiboub Sharaf akiwa mazoezini Kiungo kutoka nchini Sudan Sharaf Eldin Shaiboub Ali Abdelrahman ameanza mazoezi rasmi baada ya kutambulishwa na Mabingwa wa Soka Tanzania bara Simba SC jana Jumatatu (Januari 03) mchana. Read more about Shaiboub aanza kukiwasha Simba SC