Stamina afunguka kuhusu madai ya Uchawa wa Shetta

Picha ya Stamina kulia, kushoto ni Shetta

Stamina Shorwebwenzi amesema Shetta ni mtu ambaye anaangalia sana fursa na kwa vitu anavyofanya hawezi kumuweka kwenye engo ya uchawa kama baadhi ya watu wanavyomtafsiri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS