Rais Samia awapongeza JWTZ kwa kazi nzuri

Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikata Utepe kwa ajili ya kupokea Miradi iliyofadhiliwa na kujengwa na Serikali ya Ujerumani kupitia Jeshi la Nchi hiyo (GAFTAG) kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ, Lugalo Jijini Dar es salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameshiriki katika makabidhiano ya miradi mipya ya iliyofanywa na nchi ya Ujerumani katika Hospitali ya Lugalo ambapo amelipongeza Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa kazi nzuri ya kulinda mipaka ya nchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS