Rekodi za Al Ahly na kocha Mosimane CAFCL Al Ahly wakishangilia ubingwa Baada ya kuifunga Kaizer Chief magoli 3-0 kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika usiku wa Julai 17, 2021, klabu ya Al Ahly imetwaa ubingwa huo kwa mara ya pili mfululizo. Read more about Rekodi za Al Ahly na kocha Mosimane CAFCL