Rekodi za Al Ahly na kocha Mosimane CAFCL

Al Ahly wakishangilia ubingwa

Baada ya kuifunga Kaizer Chief magoli 3-0 kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika usiku wa Julai 17, 2021, klabu ya Al Ahly imetwaa ubingwa huo kwa mara ya pili mfululizo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS