Arsenal yafikia makubaliano kumsajili Ben White

Ben White alipokuwa anaitumikia Brigthon & Hove Albion kwenye moja ya mchezo wa EPL msimu uliopita.

Washika mitutu wa jiji la London, klabu ya Arsenal imefikia makubaliano kumsajili mlinzi wa kati, Ben White wa klabu ya Brighton & Hove Albion kwa ada ya uhamisho wa paundi milioni hamsini za England ambazo ni sawa na bilioni mia hamsini na tisa na zaidi ya milioni mia sita za kitanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS