Mahari ya Bright kwa Binti wa Nyoshi El Sadaat

Nyoshi El Sadaat upande wa kushoto, kulia ni Bright Music

Star Kid wa BongoFlava Bright Music ameweka wazi kwamba yupo kwenye mahusiano na binti wa msanii nguli wa muziki wa Dansi Nyoshi El Sadaat, ambapo amesema mwisho wa kutoa pesa kama mahari kwa ajili ya ndoa basi ni Milioni 5 tu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS