Djokivic awekewa ngumu kuhusu Olimpiki

Novak Djokovic akiwajibika uwanjani

Chama cha mchezo wa Tenisi nchini Serbia, kimesisitiza kwamba mchezaji wao Novak Djokovic atashiriki michuano wa Olimpiki inayotarajiwa kufanyika mwezi ujao nchini Japan.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS