Djokivic awekewa ngumu kuhusu Olimpiki Novak Djokovic akiwajibika uwanjani Chama cha mchezo wa Tenisi nchini Serbia, kimesisitiza kwamba mchezaji wao Novak Djokovic atashiriki michuano wa Olimpiki inayotarajiwa kufanyika mwezi ujao nchini Japan. Read more about Djokivic awekewa ngumu kuhusu Olimpiki