Simba ilitolewa CAF kwa kuwa hatukuwapa kipaumbele

Waziri wa Fedha na Mipango, Dokta Mwigulu Nchemba akisisitiza jambo mbele ya Waandishi wa Habari.

Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba amesema Shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF halina mipangilio inayoeleweka kimichezo hali iliyopelekea kushindwa kwa vilabu vyetu kufanya vyema katika michuano ya kimataifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS