VPL michezo miwili leo, Azam kukipiga na Namungo

Matukio mchezo wa mwisho Azam walipokutana na Namungo Mkoani Lindi

Ligi kuu soka Tanzania bara inaendelea tena leo kwa michezo miwili raundi ya 32, KMC watakuwa wenyeji wa Mtibwa Sugar Saa 8:00 Mchana na Namungo wanawaarika Azam FC mchezo utakao chezwa Saa 10:00 jioni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS