RC Batilda aagizwa kusimamia ukusanyaji mapato

Balozi Batilda Salha Burian akila kiapo mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amemuapisha Balozi Batilda Salha Burian kuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora pamoja na Zuwena Omari Jiri kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS