Mariah Carey aikacha Roc Nation
Mwimbaji Mariah Carey ameripotiwa kuwa na ugomvi na Rapper na nguli wa muziki Jay Z, na kupelekea kuachana na kampuni yake ya usimamizi yaRoc Nation huku ikielezwa kuwa Carey alitaka kujua juu ya mstakabali juu ya kazi yake kwahapo baadae.