Rekodi za Italia kiboko, sasa wanatazamwa tofauti

wachezaji wa Italia wakishangilia kwenye mchezo dhidi ya Wales

Baada ya timu ya taifa ya Italia kutopewa nafasi ya kutwaa ubingwa wa michuano ya mataifa barani Ulaya Euro 2020, kabla ya michuano kuanza Juni 11 sasa timu hiyo inatazamwa kwa jicho la tofauti baada ya kushinda michezo yote mitatu ya makundi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS