Madalali matapeli wajifanya TAKUKURU

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Doreen J. Kapwani

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imesema kuna tabia iliyojitokeza ya baadhi ya watu kujifanya kuwa wao ni madalali kati ya jamii na TAKUKURU na wanaweza kuwasaidia watu kuonana na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo Kamishna wa Polisi Salum Hamduni,

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS