Liverpool na Arsenal, zapigana vikumbo kwa Sanches
Arsenal na Liverpool zipo kwenye vita ya kumuwania kiungo wa kimataifa wa Ureno na klabu ya Lile ya Ufaransa Renato Sanches, ambapo timu zote hizo zimeonyesha nia ya kumuhitaji na klabu yake ya Lile ipo tayari kumuuza katika kipindi hiki cha usajili.

