TFF yamwondolea adhabu Mwakalebela

Makamu Mwenyekiti wa Yanga Fredrick Mwakalebela

Makamu Mwenyekiti wa Yanga Fredrick Mwakalebela, ameondolewa adhabu ya kufungiwa miaka mitano kutojihusisha na soka ndani na nje ya nchi na sasa yupo huru kuendelea na majukumu yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS