Ngwair na Langa waacha “Upweke”
Unaweza kusema mambo yote yatapita lakini muziki utabaki milele kwani ardhi ya Tanzania ilibarikiwa wasanii ambao walitupeleka “Matawi ya Juu” kwa mtindo wao na tungo tamu ambazo hata ukikesha kama “CNN” huwezi acha “Sikiliza”.

