Hatma ya Uchaguzi wa TFF kujulikana leo
Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Dar es salaam leo saa 6:00 mchana, itatoa maamuzi ya shauri dogo kuhusu Uchaguzi wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania TFF ambalo limefunguliwa na aliyekuwa mgommbea wa nafasi ya Urais Ally Saleh.

