Michapo ya michezo mbalimbali Juni 25,2021

Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya soka ya Yanga, Fredrick Mwakalebela ambaye amerejea katika nafasi yake baada ya kuachiwa huru kutoka katika kifungo cha miaka mitano cha kutojishughulisha na soka.

Tunakupitisha katika viwanja mbalimbali vya kimichezo kwa kukupa ripoti zinazotokana na namba zenye vyanzo vya stori za kimichezo ndani yake na pia unaweza kuzisikia kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa saa moja na rovo asubuhi kupitia Super Breakfast ya East Africa Radio.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS