BongoMovie kuweka kambi Wilayani Rorya

Msanii Niva Supa Marioo

Msanii wa filamu Niva Supa Marioo amesema BongoMovie wanajipanga kuweka kambi Wilaya ya Rorya mkoani Mara ambapo msanii mwenzao Juma Chikoka maarufu Chopa Mchopanga ameteuliwa kuwa Mkuu wa wilaya hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS