Serikali yawatoa majonzi wanafuzi 21,000

Bodi ya Mikopo

Wizara ya Fedha na Mipango, imependekeza kuongeza kiasi cha shilingi bilioni 70 kitakachowawezesha takribani wanafunzi 21,000 wa elimu ya juu walioshindwa kuendelea na masomo baada ya kukosa mkopo licha ya kwamba walikuwa na sifa za kundelea na masomo hayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS