TBS kujiendesha kidijitali sasa
Wizara ya Viwanda na Biashara kupitia Shirika la viwango Tanzania TBS limewataka wadau, wateja kutumia huduma mpya ya kielektroniki, mfumo ambao umepewa jina la viwango jumuishi, uhakiki wa ubora, ugezi na upimaji yaani ISQMT.