TBS kujiendesha kidijitali sasa

Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Viwango TBS Dkt Athumani Ngenya

Wizara ya Viwanda na Biashara kupitia Shirika la viwango Tanzania TBS limewataka wadau, wateja kutumia huduma mpya ya kielektroniki, mfumo ambao umepewa jina la viwango jumuishi, uhakiki wa ubora, ugezi na upimaji yaani ISQMT.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS