Ummy amtaja RC bora, awataka wengine wajitafakari

Kushoto ni mkuu wa mkoa wa Tanga Martine Shigella na kulia ni Waziri wa TAMISEMI Ummy Mwalimu

Waziri wa TAMISEMI Ummy Mwalimu, amemtaja mkuu wa mkoa wa Tanga Martine Shigella, kama mkuu wa mkoa bora kwani amekuwa akiwashirikisha katika masuala mbalimbali na kuwataka wakuu wengine wa mikoa kujitafakari na waige mfano bora kutoka kwake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS