CUF yasikitishwa Watanzania kukosa furaha 

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Prof. Ibrahim Lipumba

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Prof. Ibrahim Lipumba amesema Baraza Kuu la chama hicho limehuzunishwa na ukosefu wa hali ya furaha miongoni mwa Watanzania katika maisha yao unaotokana na  umasikini na uvuinjifu wa haki za binadamu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS