''Inatosha kwasasa'' - Onyango

Denis Onyango katika moja ya mechi ya Uganda Cranes

Golikipa mahiri wa kimataifa wa Uganda Denis Onyango anayechezea timu ya Mamelodi Sundowns ya Africa Kusini, ametangaza rasmi kustaafu kuchezea timu ya taifa ili kupisha damu changa kuonesha uwezo wao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS