Huu ndiyo Mpango wa serikali katika kuinua michezo
Mkurugenzi wa michezo nchini, Yusuph Singo ameiambia EATV kuwa, serikali imeadhimiria kushiriki katika mageuzi ya michezo kwa kujenga vituo mbali mbali vya michezo nchini ili kuibua na kukuza vipaji.