Rais Samia Suluhu atengua uteuzi Mkurungezi TPDC
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Bw. Thobias Mwesigwa Richard na kumrejesha Dk. James Mataragio.