Scolari afunguka wabaya wake waliomuondoa Darajani

Kocha Mbrazil Luis Felipe Scolari

Kocha wa zamani wa klabu ya Chelsea na timu za taifa za Brazil na Ureno, Luiz Filipe Scolari amesema mahusiano mabaya na nyota wawili wa zamani wa timu hiyo Didier Drogba na Nicolaus Alneka ndiyo yaliomuondoa Chelsea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS