Conte atumika kumbakiza Lukaku Inter Milan

Lukaku kulia akiwa na kocha Antonio Conte

Romeru Lukaka ataendelea kusalia katika klabu ya Inter Milan kwa muda wote ambao kocha wa kikosi hicho Antonio Conte ataendelea kuwepo klabu hapo na tayari mazungumzo ya mkataba mpya yameanza, vilabu kadhaa vimeonyesha nia yakutaka kumsajili mshambuliaji huyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS