Mpango mpya utakaoongeza wakalimani Tanzania

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Selemani Jafo.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Selemani Jafo, ametangaza utaratibu kwa wahitimu wa kidato cha nne mwaka 2020 wanaotaka kubadilisha ‘Combination’ kidato cha tano na kozi za vyuo vya elimu ya ufundi kufanya hivyo kupitia mfumo wa kieletroniki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS