Xabi Alonso kusalia Real Sociedad mpaka Juni 2022

Xabi Alonso

Xabi Alonso ameongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kukinoa kikosi cha timu ya vijana ya Real Sociedad ya Hispania mpaka mwaka 2022 na kufuta uvumi wa kujiunga na klabu ya Borussia Monchengladbach ya Ujerumani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS