Steven Gerrard azua utata England
Nahodha wa zamani wa Liverpool Steven Gerrard ameshangazwa na kocha wa timu ya taifa ya England Gareth Southgate kwa kutomjumuisha mlinzi wa kulia wa Liverpool Trent Alexander Arnold kwenye kikosi cha wachezaji 26 watakao cheza michezo ya kuwania tiketi ya kufuzu kombe la Dunia mwaka 2022.