Mshambuliaji wa timu ay taifa ya Poland, Roberto Lewandowski.
Nahodha wa timu ya Taifa ya Poland, Roberto Lewandowski ataukosa mchezo wa kufuzu fainali za kombe la Dunia dhidi ya timu ya Taifa ya Uingereza utakaochezwa siku ya Jumatano kutokana na kupata maumivu ya goti.