Hesabu za Taifa Stars ili kuvuka makundi CHAN

Wachezaji wa Taifa Stars wakishangilia goli

Taifa Stars imefufua matumaini ya kufuzu hatua ya robo fainali ya michuano ya timu za taifa kwa wachezaji wa ndani (CHAN) inayoendelea nchini Cameroon, baada ya kushinda mchezo wake wa pili Kundi D kwa goli 1-0 dhidi ya Namibia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS