''United itatwaa ubingwa EPL''Wayne Rooney

Bruno Fernandes(Kushoto) na Edinson Cavani (Kulia) wakishangilia kwa pamoja baada ya kufunga bao.

Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Wayne Rooney amesema anategemea mashetani wekundu watatwaa ubingwa wa ligi kuu ya Uingereza msimu huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS