Dikson Job kulia akiwa na makamu mwenyekiti wa kamati ya mashindano Yanga ENG. Hersi Saidi
Klabu ya Yanga imekamilisha usajili wa beki wa kati wa kimataifa wa Tanznaia Dickson Job kutoka Mtibwa Sugar ya Morogoro kwa mkataba wa miaka 2 na nusu, mchezaji huyo ametangazwa rasmi hii leo.