Dickson Job ni Mwananchi, asaini miaka 2 na nusu

Dikson Job kulia akiwa na makamu mwenyekiti wa kamati ya mashindano Yanga ENG. Hersi Saidi

Klabu ya Yanga imekamilisha usajili wa beki wa kati wa kimataifa wa Tanznaia Dickson Job kutoka Mtibwa Sugar ya Morogoro kwa mkataba wa miaka 2 na nusu, mchezaji huyo ametangazwa rasmi hii leo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS