Mwinyi mgeni rasmi sherehe za Mapinduzi Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt Hussein Ali Mwinyi anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika sherehe za miaka 57 za Mapinduzi ya Zanzibar ambazo kwa mwaka huu zitafanyika katika viwanja vya mnazi mmoja mkoa wa Mjini Magharibi.