JPM asimulia Maalim Seif alivyookoa ndoa Zanzibar
Rais wa amhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli, amempongeza Makamo wa Kwanza wa Rais Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, kwa kukubali kuwa miongoni mwa viongozi wa serikali inayoongozwa na Dkt Mwinyi na kwamba maamuzi yake yaliokoa ndoa ya watu.