Simba Yanga shughuli pevu nusu fainali Mapinduzi

Wachezaji wa Simba SC na Namungo FC

Nusu fainali mbili za Kombe la Mapinduzi, zinachezwa leo Jumatatu Januari 11, 2021, katika uwanja wa Amaan visiwani Zanzibar, ambapo michezo yote miwili ya hatua hii itapigwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS