Tanzania dhidi ya DR Congo LIVE East Africa Radio
Timu ya taifa ya soka ya Tanzania 'Taifa Stars' inataraji kushuka dimbani saa 11:00 jioni ya leo tarehe 12 Januari 2021 kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya taifa ya DR Congo mchezo utakaochezwa kwenye dimba la mkapa jijini Dar es salaa na kutangazwa mubashara na EA radio.