Liverpool kukipiga na SOTON EPL leo

Kikosi cha Mabingwa watetzi wa EPL, Liverpool.

Mabingwa watetezi wa EPL Klabu ya Liverpool saa 5:00 kamili usiku wa leo tarehe 4 Januari 2021 inarataji kushuka dimbani ugenini kuchuana na watakatifu wa Maria, klabu ya Southampton kwenye mchezo wa mzunguko wa 17 wa ligi Kuu England.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS