Baba avunja shingo na uti wa mgongo wa mwanaye

Kamanda wa Polisi mkoa wa Kagera, Revocatus Malimi

Jeshi la polisi mkoani Kagera, linamshikilia Amos Rudovick (39) kwa tuhuma za kusababisha kifo cha mtoto wake Dastan Amos (13), kwa kumchapa na fimbo sehemu mbalimbali za mwili wake na baada ya uchunguzi ilibainika kuwa alimvunja shingo na uti wa mgongo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS