Tukio la 5,4,3,2,1 yaliyotikisa kwenye burudani

Kushoto ni tukio la Shilole kupigwa na Uchebe, kulia ni Kiki ya kifo ya msanii wa singeli Meja Kunta.

2. Shilole kupigwa na Uchebe
Ilikuwa siku ya Julai 8, 2020 ambapo msanii na mfanyabiashara Shilole kuandika mazito ambayo amekutana nayo kwenye ndoa yake na aliyekuwa mume wake Uchebe, kwenye taarifa yake hiyo aliyoweka kwenye mtandao wa Instagram ameeleza kuwa amekutana na ukatili

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS