Simba SC mzigoni VPL dhidi ya Ihefu leo

Wachezaji wa Simba SC

Wekundu wa Msimbazi Simba SC ambao ndiyo mabingwa watetezi wa VPL saa 10:00 jioni ya leo Disemba 30, 2020, wanatazamiwa kukipiga dhidi ya klabu ya Ihefu FC ya Jijini Mbeya mchezo utakaochezwa kwenye dimba la Mkapa jijini Dar es salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS