Mbunge atimiza ahadi ambayo haikutimizwa kwa miaka
Mbunge wa Makete Festo Sanga, amekabidhi na kuzifunga Solar panel tatu katika Zahanati ambazo aliahidi atawapatia wananchi wa Kijiji cha Ilindiwe, Kata ya Mang'oto, endapo watamchagua alipopita kuomba kura wakati wa kampeni za uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 28, 2020.