Majaliwa aagiza ukaguzi mzito Bandari zote nchini

pichani: Bandari ya Dar es salaam

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kwenda kufanya ukaguzi maalum katika bandari za Dar es Salaam, Mwanza, Mtwara, Tanga na Kyela kutokana na kuwepo kwa matumizi mabaya ya fedha za umma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS