Rais Magufuli atembeza kapu kanisani

Rais Dkt. John Magufuli, akipitisha kapu la sadaka kwa waumini wakati wa ibada Takatifu ya Sikukuu ya Christmas

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli, leo ameshiriki misa takatifu ya Sikukuu ya Christmas iliyofanyika katika Kanisa la Bikira Maria Imakulata, Chamwino Ikulu mkoani Dodoma leo Desemba 25, 2020.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS