Rais Magufuli atembeza kapu kanisani
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli, leo ameshiriki misa takatifu ya Sikukuu ya Christmas iliyofanyika katika Kanisa la Bikira Maria Imakulata, Chamwino Ikulu mkoani Dodoma leo Desemba 25, 2020.