Katibu wa kuratibu shughuli za Serikali kuhamia Dodoma Meshack Bandawe akizungumza jambo na manesi wanaofanya kazi katika hospitali ya Uhuru iliyopo Wilayaya Chamwino Mkoani Dodoma.
Hospitali ya Uhuru inayojengwa kwa gharama za bilioni 3.9 imeanza kutoa huduma kwa wagonjwa wa nje.