Wababe wa jiji la Manchester uso kwa uso Carabao

Kushoto ni kocha wa Man United Ole Gunnar Solskjaer na kulia ni Pep Guadiola kocha wa Man City.

Watani wa jadi wa jiji la Manchester Nchini Uingereza vilabu vya Manchester United na Manchester City, vinataraji kuchuana kwenye mchezo wa nusu fainali ya kwanza ya michuano ya Carabao wakati Tottenham Hotspurs imepangwa kucheza na Brentford kutoka ligi daraja la kwanza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS