Pichani: mfano wa jiwe la dhahabu (picha kutoka mtandaoni)
Mifuko 70 ya mawe ya madini ya dhahabu imekamatwa mkoani Simiyu yaliyokuwa yakitoroshwa kinyume cha sheria kutoka mgodi wa EMJ wilayani humo, ambapo watu wawili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi.