Michezo 4 raundi ya 17 VPL, kuchezwa leo katika viwanja 4 tofauti
Ligi kuu soka Tanzania bara raundi ya 17, itaanza kutimua vumbi hii leo kwa michezo 4, ikiwa ni michezo yakukamilisha michezo ya duru la kwanza, michezo ya leo itachezwa Mwanza, Shinyanga, Kagera na Mara.