Serikali yashangaa upandaji bei ya saruji

Waziri mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa

Waziri mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amewaagiza wakuu wa mikoa kuhakikisha hadi kufikia tarehe 20, Novemba, 2020 wanafahamu ni kwanini bei ya saruji imepanda kutoka bei ya kawaida kwa kutembelea viwanda na mawakala wa saruji  wakati serikali haijapandisha kodi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS